Skip to main content
Skip to main content

Timu 40 kutoka wadi tano za Langata kushiriki kwenye mchuano wa Abbas Super Cup

  • | Citizen TV
    138 views
    Duration: 1:02
    Timu 40 kutoka wadi tano za eneo bunge la Lang’ata zitashiriki makala ya kwanza ya mashindano ya soka ya Abbas Super Cup yatakayong’oa nanga Novemba 10 na kutamatika Disemba 13 ugani Nyayo hapa Nairobi. Mashindano hayo yananuiwa kukuza vipaji vya soka kutoka mashinani.