- 534 views
Michezo ya shule za sekondari za Afrika Mashariki huenda ikalazimishwa kutafuta ukumbi mpya ikiwa uwanja wa Bukhungu huko Kakamega hautakamilika mwezi mmoja ujao. Shirikisho la michezo ya shule za sekondari za Afrika Mashariki limeelezea kusikitishwa kwao na hali ya uwanja kwa sasa kumbi zingine zilizotengwa kwa michezo hiyo Kakamega ziko katika hali nzuri, lakini uwanja wa Bukhungu ambao ni ukumbi mkuu wa mechi za kandanda una siku 30 tu kabla ya timu hiyo kufanya ukaguzi mwingine. Kumbi za Kakamega zitajaribiwa wakati wa mashindano ya kitaifa ya michezo za muhula wa pili ambayo itaanza tarehe 26 Julai. Serikali ya kaunti kupitia mtendaji mkuu wa michezo Jackline Masicha imeahidi kuwa uwanja huo utakuwa tayari kwa michezo ya shule ya kitaifa, na pia michezo ya Afrika Mashariki. Matukio hayo mawili yametofautiana kwa siku kumi tu.
Hali ya uwanja wa Bukhungu yaleta tumbo joto kwa waandalizi wa michezo ya sekondari Afrika Mashariki
- 2 Jul 2025 - The State, through parliament has once more come up with a contentious Bill to control when, how and where the public should hold demonstrations.
- 2 Jul 2025 - U.S. President Donald Trump's administration cancelled a major contract to supply emergency kits for rape survivors in Congo as violence surged in the east this year, leaving thousands without access to life-saving medication, the United Nations and aid…
- 2 Jul 2025 - The Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) in Eldoret, Uasin Gishu County has made a ground-breaking achievement in healthcare by successfully performing Kenya’s first-ever renal artery bypass surgery.
- 2 Jul 2025 - Iran-linked hackers have threatened to disclose more emails stolen from U.S. President Donald Trump's circle, after distributing a prior batch to the media ahead of the 2024 U.S. election.
- 2 Jul 2025 - Sakaja said the revenue growth marks a significant turnaround from the Sh8 billion annual collections that had stagnated for years before he took office.
- 2 Jul 2025 - Turkish police arrested more than 120 people in the opposition stronghold of Izmir on Tuesday, hours before a key rally in Istanbul, in the latest move targeting President Recep Tayyip Erdogan's opponents.
- 2 Jul 2025 - The Dalai Lama fled across the border to India in 1959 after a failed uprising against Chinese rule in Tibet. He set up a government-in-exile in Dharamshala and has been seen as an alternative source of power for those who resent Beijing's tight control…
- 2 Jul 2025 - Omwoyo stressed the importance of joint training programmes on information integrity and media literacy
- 2 Jul 2025 - "The circumstances around it were not only frustrating but traumatising, not just for me, but for my family and many people I served with in government."
- 2 Jul 2025 - Rainfall is expected in the Highlands East and West of the Rift valley, Lake Victoria Basin, Coastal Region and parts of the Northeastern and Northwestern Kenya.