- 28 views
Mkurugenzi wa idara ya upelelezi Mohamed Amin,sasa anatakiwa kufika mahakamani baada ya kukosa kufuata maagizo ya mahakama ya kumfikisha mahakamani wakili aliyetoweka na mwanablogu Ndiang’ui Kinyagia leo akiwa hai au amefariki. Katika uamuzi wake leo Jaji Chacha Mwita alielezea wasiwasi wake kuhusu jinsi suala hilo linavyoshughulikiwa, akisema wapelelezi ndio waliokuwa watu wa mwisho kuonekeana katika makazi ya Ndiang’ui Kinyagia mtaani Kinoo kabla ya kutoweka kwake. Agizo hilo la mahakama linajiri huku mwanansiasa mmoja katika eneo la Limuru akiripotiwa kutekwa nyara jana jioni na watu wanaoamika kuwa maafisa wa polisi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mkuu wa DCI atakiwa kumwasilisha mahakamani mwanablogu Ndiang’ui Kinyagia
- 2 Jul 2025 - A petition has been filed at the High Court seeking the removal of the director-general and chief executive officer of the Kenya Rural Roads Authority (KeRRA), Philemon Kandie over allegations that he financed and coordinated violent, politically…
- 2 Jul 2025 - The High Court has directed all parties in a case challenging the alleged transfer of the Public Seal of Kenya to comply with earlier orders on the filing of responses and submissions.
- 2 Jul 2025 - WFP on June 2025 announced the suspension of the ‘Bamba Chakula’ e-voucher leaving refugees in Kenya’s Dadaab camp at risk of starvation and social unrest.
- 2 Jul 2025 - The Supreme Court on Monday ruled that children born out of wedlock to Muslim fathers are entitled to inherit from their father's estate, marking a significant development in the interpretation of Islamic personal law in Kenya.
- 2 Jul 2025 - Former Chief Justice David Maraga has explained that under Kenyan law, a sitting president can be prosecuted after leaving office, not when in power.
- 2 Jul 2025 - The directives follow public outcry from taxpayers during the initial June 30 deadline.
- 2 Jul 2025 - The subjects are a key part of the new pathways being offered under CBE.
- 2 Jul 2025 - An Eldoret court is set to determine if it will okay an application by the prosecution to detain a police officer accused of fatally shooting his girlfriend and another man at a club in Jua kali, in Uasin Gishu county for 14 more days pending conclusion…
- 2 Jul 2025 - The discounts will run until September 28.
- 2 Jul 2025 - The project is set to give the Nairobi CBD a facelift.