Mbunge kenya apendekeza mswada wa udhibiti wa mikusanyiko
Jumatatu ya Julai saba mwaka huu , vijana wa rika wa Gen Z nchini Kenya wamepanga tena kuendeleza maandamano yao ya kuishinikiza serikali ya sasa kuheshimu katiba kwa kutowezesha mauaji, utekaji nyara na kukamatwa kwa wanaopinga sera za serikali ya rais William Ruto.
-
Huku vijana wakijiandaa kwa kile wanadai ni maandamano makubwa kuliko yaliyoshuhudiwa Juni 25 katika maadhimisho ya mwaka mmoja tangu yale ya 2024 ambapo Bunge lilivamiwa, serikali inaweka mikakati ya kudhibiti maandamano hayo kwa kupendekeza kufanyiwa mabadiliko katika sheria ya kusimamia ukusanyikaji wa watu.
-
Akiwasilisha pendeekzo hilo, rais William Ruto alitaja kwamba maafa yanayotokea kwenye maandamano hayo na vile vile hasara wanayopata wafanyabiashara wadogo na hata majengo ya kiserikali ni hali ambayo kamwe haitokubaliwa kuendelea kutokea.
-
@RoncliffeOdit anachambua kwa kina suala hili na mengine mengi katika Dira ya Dunia TV kwenye ukurasa wa YouTube BBC Swahili.
-
-
-
#bbcswahili #kenya #maandamano
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
3 Jul 2025
- The ministry stated that Kenyans will receive compensation as part of government efforts to make them whole.
3 Jul 2025
- This comes as election campaigns gain momentum ahead of the 2027 General Elections.
3 Jul 2025
- This is despite 252 total approved positions.
3 Jul 2025
- U.S. President Donald Trump will host leaders from five African nations in Washington next week to discuss "commercial opportunities," a White House official said on Wednesday.
3 Jul 2025
- President William Ruto on Wednesday said the government has closed 1,000 hospitals for falsifying medical claims to the Social Health Authority (SHA).
3 Jul 2025
- Eldoret High Court will on July 4, 2025, sentence self-confessed serial killer Evans Juma Wanjala who is linked to the killing of five minors Moi’sbridge, Uasin Gishu County.
3 Jul 2025
- Another three of the helicopter's eight occupants survived the incident but with severe injuries and burns, said the spokesperson, Felix Kulayigye.
3 Jul 2025
- President William Ruto, who is in a tour in the United Kingdom on Wednesday addressed a Diaspora Townhall in London.
3 Jul 2025
- The ministry stated that Kenyans will receive compensation as part of government efforts to make them whole.
3 Jul 2025
- Armed gangs have tightened their grip on Haiti's capital Port-au-Prince, UN officials warned Wednesday, saying it is possible a "total collapse" of state presence in the city could occur.
3 Jul 2025
- This comes as election campaigns gain momentum ahead of the 2027 General Elections.
3 Jul 2025
- Inside the house, they reportedly discovered several pieces of cooked and uncooked human flesh.
3 Jul 2025
- A deepening crisis of abductions and enforced disappearances is shaking the justice system and tarnishing its global reputation, as families, lawyers, accuse the govt of complicity.