- 3,693 viewsSean "Diddy" Combs amekutwa hana hatia ya uhalifu wa kupanga (racketeering), na pia hana hatia ya usafirishaji haramu wa ngono dhidi ya aliyekuwa mpenzi wake Casandra Ventura na mwanamke mwingine anayetambulika kama "Jane". Hata hivyo, alipatikana na hatia ya usafirishaji kwa ajili ya kujihusisha na ukahaba, kuhusiana na wanawake wote wawili. kila kosa alilopatikana na hatia linabeba kifungo cha hadi miaka 10, hivyo anaweza kukabiliwa na jumla ya hadi miaka 20 gerezani. Combs, mwenye umri wa miaka 55, amekanusha mashtaka yote.- #bbcswahili #newyork #marekani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Diddy akutwa na hatia ya mashtaka mawili
- 4 Jul 2025 - South Africa's former deputy president David Mabuza has died aged 64, the country's public broadcaster reported on Thursday.
- 4 Jul 2025 - Kenyan firms across multiple sectors faced a challenging month in June, grappling with weakened consumer demand, operational pressures, and renewed street protests that disrupted commerce and mobility. These compounded challenges led to sluggish sales…
- 4 Jul 2025 - Limuru Golf Course will this weekend host a field of 98-top ranked golfers for the 98th edition of the Limuru Open and the Brakenhurst Trophy. The event is primed to showcase the finest in Kenyan golf with the participants vying for a prize pool of Sh…
- 4 Jul 2025 - Passaris's 'big, beautiful' Bill that gives goons a free pass in the city
- 4 Jul 2025 - We will speak in one voice in 2027 polls-opposition
- 4 Jul 2025 - Teacher unions demand hefty pay rise, new perks
- 4 Jul 2025 - AfDB says Kenya's tax regime lenient to the wealthy
- 4 Jul 2025 - Police station set on fire as Ojwang' returns in coffin
- 4 Jul 2025 - MPs questions State overreach in new media code of conduct
- 4 Jul 2025 - Farmers to get record payment, says Coop boss