Skip to main content
Skip to main content

Chuo Kikuu cha Moi chafanya utafiti wa dawa za mitishamba

  • | Citizen TV
    195 views
    Duration: 3:52
    Kwa miaka mingi dawa za kiasili zimekuwa zikipuuzwa sana na wanasayansi lakini sasa mambo yamebadilika kwani chuo cha Moi kwa ushikiano na washikadau katika sekta ya afya ,sasa wataanza kufanya utafiti wa dawa hizo ili zitumike hospitalini.