Skip to main content
Skip to main content

Wafugaji wafungua kiwanda cha kuongeza thamani ya maziwa Machakos

  • | Citizen TV
    248 views
    Duration: 1:43
    Wakulima wa Kambusu katika kaunti ndogo ya Matungulu huko Machakos wamepiga hatua kubwa kwa kufungua rasmi kiwanda kipya cha kusindika maziwa chenye thamani ya zaidi ya Ksh.10 milioni .