Watu 11 wameuawa nchini Kenya katika maandamano ya kuadhimisha miaka 35 ya siku ya saba Saba, kwa mujibu wa taarifa ya Polisi iliyotolewa muda mchache uliopita. Polisi pia wanasema kwamba watu 567 wamekamatwa ikiwemo mbunge mmoja, huku maafisa 52 wa polisi wakijeruhiwa.
12 Jul 2025
- Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.