- 930 views
Vijana, Wazee na Viongozi wa Kericho Wameandaa Mkutano wa Amani kuadhimisha Siku ya Saba Saba na kutangaza makataa Ya siku 21 Kuhusu kwa serikali kutoa muongozi kwa Vijana Vijana kutoka Kaunti ya Kericho, wakishirikiana na wazee, viongozi wa kidini na Wajumbe watatu wa Bunge la Kaunti waliandaa mkutano wa amani katika bustani ya Moi hapo jana, wakichagua njia ya mazungumzo badala ya maandamano kudai haki zao. Akihutubia mkutano huo, Rais wa Vijana wa Kericho, Elkana Mutai, aliwapongeza vijana kwa kuchagua amani lakini pia alitoa makataa ya siku 21 kwa Gavana Dkt. Erick Mutai, Seneta Aaron Cheruiyot, Wabunge na Wajumbe wa Bunge la Kaunti kuhakikisha utekelezaji wa matakwa ya Katiba kuhusu kutenga asilimia 30 ya kandarasi na zabuni za kaunti kwa vijana, wanawake na watu walemavu.
Vijana na baadhi ya viongozi Kericho wafanya mashauriano ya amani
- - Duniani Leo ››
- 10 Jul 2025 - Russia pummelled Ukraine early on Wednesday with its largest missile and drone attack in more than three years of war, claiming to have targeted an airfield in a region bordering Poland.
- 10 Jul 2025 - The US government said Wednesday it subpoenaed Harvard University for records linked to students allegedly involved in a wave of pro-Palestinian student protests that the Trump administration labeled anti-Semitic.
- 10 Jul 2025 - Farmers have been asked to embrace the use of biological pesticides as a way of mitigating climate change and solving negative impact towards the environment caused by prolonged use of chemical pesticides in farming.
- 10 Jul 2025 - The move has sparked a fierce confrontation with the current MP.
- 10 Jul 2025 - His bold, combative political style made him a valuable asset in defending the administration and consolidating support in the vote-rich region.
- 10 Jul 2025 - Rights groups have accused authorities of stalling investigations into police killings as families wait in anguish.
- 10 Jul 2025 - Some of the teachers in the category are not necessarily unemployed as some are engaged elsewhere, says acting CEO.
- 10 Jul 2025 - Saudi Arabia accounted for the highest number with 166 deaths, followed by Qatar at 58. Oman and Iran reported no deaths.
- 10 Jul 2025 - Initially, the fund targeted 14 of the least developed counties, mainly in arid and semi-arid regions.
- 10 Jul 2025 - Former Nyeri Town MP Ngunjiri Wambugu has thrown shade at former Deputy President Rigathi Gachagua over his much-publicised