- 290 views
Walimu kutoka shule za umma wamepatiwa mafunzo maalum kuhusu masuala ya afya ya msingi shuleni, ikiwa ni pamoja na utambuzi wa dalili za utapia mlo, kupima shinikizo la damu na matumizi ya dawa za huduma ya kwanza kwa wagonjwa wa dharura. Mafunzo hayo yameendeshwa kama sehemu ya mpango wa kuboresha huduma za afya ya msingi kwa wanafunzi shuleni, hasa maeneo ya mashinani ambayo mara nyingi hukumbwa na changamoto za kiafya. Kupitia mpango huo, walimu walifundishwa jinsi ya kutambua ishara za lishe duni, kupima na kufuatilia afya ya wanafunzi, na kutoa msaada wa haraka kabla ya wagonjwa kufikishwa katika vituo vya afya.
Shule zakabidhiwa vifaa vya kutambua matatizo ya afya
- - Duniani Leo ››
- 10 Jul 2025 - Russia pummelled Ukraine early on Wednesday with its largest missile and drone attack in more than three years of war, claiming to have targeted an airfield in a region bordering Poland.
- 10 Jul 2025 - The US government said Wednesday it subpoenaed Harvard University for records linked to students allegedly involved in a wave of pro-Palestinian student protests that the Trump administration labeled anti-Semitic.
- 10 Jul 2025 - Ruto has instead chosen a combative tone and even ordered police not to relent hen dealing with protesters
- 10 Jul 2025 - Farmers have been asked to embrace the use of biological pesticides as a way of mitigating climate change and solving negative impact towards the environment caused by prolonged use of chemical pesticides in farming.
- 10 Jul 2025 - The move has sparked a fierce confrontation with the current MP.
- 10 Jul 2025 - His bold, combative political style made him a valuable asset in defending the administration and consolidating support in the vote-rich region.
- 10 Jul 2025 - Rights groups have accused authorities of stalling investigations into police killings as families wait in anguish.
- 10 Jul 2025 - Some of the teachers in the category are not necessarily unemployed as some are engaged elsewhere, says acting CEO.
- 10 Jul 2025 - Saudi Arabia accounted for the highest number with 166 deaths, followed by Qatar at 58. Oman and Iran reported no deaths.
- 10 Jul 2025 - Initially, the fund targeted 14 of the least developed counties, mainly in arid and semi-arid regions.