- 132 views
Tume ya uwiano na utangamanao wa kitaifa NCIC, imeunga mkono wito wa mazungumzo yatakayoangazia ukosefu wa imani baina ya vizazi, ukosefu wa ajira, na kutamauka miongoni mwa vijana. NCIC imependekeza jukwaa lake la mazungumzo la vizazi tofauti litumike kwa mazungumzo hayo, ikisema linatoa fursa ya majadiliano, tafakari ya pamoja na utekelezaji wa maafikiano. Haya yanajiri huku tume hiyo ikifichua kwamba imependekeza kushtakiwa kwa aliyekuwa naibu wa Rais Rigathi Gachagua kwa madai ya matamshi ya chuki.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
NCIC yahimiza umuhimu wa mazungumzo baina ya vizazi
- - Duniani Leo ››
- 17 Jul 2025 - Russia said Wednesday it had seized 820 kilograms (1,800 pounds) of cocaine hidden under a shipment of bananas, calling it its largest bust of drugs from Latin America this year.
- 17 Jul 2025 - Ford is recalling 694,271 crossover SUVs in the United States due to a fuel leak issue that could increase the risk of a fire, the U.S. National Highway Traffic Safety Administration said on Wednesday, following a year-long investigation.
- 17 Jul 2025 - He is preparing to leak damning information on shady dealings between his former superior and unscrupulous investors.
- 17 Jul 2025 - The report points to possible inflation of premiums, non-existent beneficiaries, and systemic failures.
- 17 Jul 2025 - It emerged that the e-claims system at the fund was outsourced
- 17 Jul 2025 - If approved, Thika will become the fifth city in Kenya, joining Nairobi, Mombasa, Kisumu, and Nakuru
- 17 Jul 2025 - Constitutionally, the commission plays the human resource function for the National Police Service
- 17 Jul 2025 - The CS says the government is fast-tracking the projects, especially the Rironi-Naivasha Mau Summit
- 17 Jul 2025 - Veteran Kenyan rapper Jackson Ngechu Makini, widely recognised by his stage name Prezzo, has called on young people
- 17 Jul 2025 - Lawyer Willis Otieno has called on magistrates and judicial officers to uphold the independence of the judiciary and