- 181 views
Wakaazi wa kaunti ndogo ya Kilifi Kaskazini eneo la Jacaranda wamelalamikia kuhangaishwa na bwenyenye anayewataka kuvamia kipande chao Cha ardhi akidai umiliki wake Wakaazi hao wanasema wameishi kwenye kipande hicho Cha ardhi Kwa zaidi ya miongo saba na wameshangazwa na hatua ya bwenyenye huyo ya kujitokeza sasa na kudai umiliki wa ardhi hiyo. Wanasema licha ya serikali kuwatambua na kuwapa stakabadhi muhimu za umiliki wa kipande hicho bwenyenye huyo amesalia kuwahangaisha kupitia maafisa wa usalama eneo hilo. Kwa sasa wanaitaka serikali ya kitaifa kuingilia kati na kuwapa ulinzi sawia na kuwahakikishia umiliki wa kipande hicho cha ardhi.
Wakazi wa Jacaranda, Kilifi wadai kuhangaishwa
- 17 Aug 2025 - Two people have died after a lorry they were travelling in plunged into River Kipsonoi at Soimet Bridge along the Kaplong-Bomet highway.
- 17 Aug 2025 - Officers attached to the Kenya Power and Lighting Company (KPLC) have apprehended a duo linked to an illegal electricity connection network in Igembe North and South, Meru County.
- 17 Aug 2025 - A 26-year-old man believed to be behind a string of robberies in Rweno and Kiambaa areas in Kiambu County has been arrested.
- 17 Aug 2025 - Fans without ticket can watch the match on big screens
- 17 Aug 2025 - Four people have lost their lives to road accidents in the past 24 hours.
- 17 Aug 2025 - Rescuers struggled to retrieve bodies from muddy debris on Saturday after flash floods triggered by heavy monsoon rains across northern Pakistan killed at least 344 people in the past 48 hours, authorities said.
- 17 Aug 2025 - First, deeply religious Saudi Arabia opened its doors to Western raves and music festivals. Now it's turning to long-neglected Saudi traditions as it seeks to draw tourists and reshape its national identity.
- 17 Aug 2025 - Gaza residents will be provided with tents and other shelter equipment starting from Sunday ahead of relocating them from combat zones to the south of the enclave "to ensure their safety," the Israeli military said on Saturday.
- 17 Aug 2025 - The two died after a lorry plunged into the river along the Bomet-Kaplong Highway
- 17 Aug 2025 - The platform comes with several new features, including automated matching and swap options