- 3,531 views
Rais William Ruto amesisitiza kwamba hatakaa kimya na kushuhudia vifo, ubakaji na uharibifu wa mali wakati wa maandamano. Rais Ruto amesema kuwa Katiba inamtaka kulinda maisha na riziki ya Wakenya. Aidha, Rais ametetea rekodi yake ya ajira, siku moja baada ya kuwataka polisi kuwapiga risasi miguuni na kuwajeruhi wahuni. Rais alikuwa akizungumza alipokuwa mwenyeji wa mabingwa wa Ligi ya Kitaifa ya Daraja la Pili, Nairobi United FC, katika Ikulu ya Nairobi
Rais Ruto amesema hatakaa Kimya Maandamano Yakivuruga Amani
- - Duniani Leo ››
- 18 Aug 2025 - Chinese foreign minister Wang Yi will visit India from Monday to Wednesday, China's foreign ministry said in a statement on Saturday, for talks about a disputed border in the Himalayas.
- 18 Aug 2025 - Nothing kills the vibe faster than losing your phone at a stadium or concert. One minute you are
- 18 Aug 2025 - Trump is the leader scared 'New Right' that is afraid of immigrants
- 18 Aug 2025 - A spent force? Why opposition cannot afford to write off Raila
- 18 Aug 2025 - Confusion over university fees as new students prepare to report
- 18 Aug 2025 - Gasping for air: How asthma is suffocating Kenya's most vulnerable
- 18 Aug 2025 - Devolution's broken pulse: Why Kenya's counties struggle to run health systems
- 18 Aug 2025 - How every mother can give their child the best start in life
- 18 Aug 2025 - The high-profile meeting, set to take place at the KCB Leadership Centre in Nairobi, will bring together all MPs from the two parties under the framework of the broad-based government arrangement.
- 18 Aug 2025 - The inferno, which broke out earlier this week, claimed the life of one person while two minors are fighting for their lives at the Kenyatta National Hospital after sustaining severe burns.