- 274 views
Mwenyekiti mpya wa tume huru ya uchaguzi na mipaka -IEBC, Erastus Edung ameahidi kutekeleza wajibu wake kwa kujitolea na kulinda haki za kidemokrasia za Wakenya kwenye uchaguzi mkuu ujao. Akiongea kwenye majengo ya mahakama ya upeo muda mfupi baada yake na makamishna wengine sita kuapishwa, Edung alisema chaguzi huru na za kuaminika ni msingi wa demokrasia inayonawiri, na maafisa wa tume hiyo watajikakamua kuafikia lengo hilo kwa uaminifu. Jaji mkuu Martha Koome, aliyeongoza hafla hiyo aliwatahadharisha makamishna hao wapya kwamba walikuwa wanaingia afisini wakati ambapo wakenya tayari wameeleza kutoridhishwa na utendakazi wa taasisi za umma.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Makamishna wapya wa IEBC waapishwa
- 12 Jul 2025 - The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has announced a temporary traffic disruption on Mombasa Road near Syokimau Railway Station to allow for the installation of the fabricated footbridge beams of the Syokimau Railway Footbridge.
- 12 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has dismissed Orange Democratic Movement (ODM) leader Raila Odinga's proposal for a national dialogue to solve the country's challenges, arguing that the ODM leader has engaged in such talks in the past without…
- 12 Jul 2025 - The motorists termed Ndung'u and Kandie's resignations as 'deeply concerning' and 'sudden'.
- 12 Jul 2025 - Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
- 12 Jul 2025 - Nyachae had previously been shortlisted to become the new chair of the IEBC.
- 12 Jul 2025 - Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
- 12 Jul 2025 - There was no proof of the allegations that the land was a road reserve or public property.
- 12 Jul 2025 - The maintenance exercise will take six hours from 4am to 10am.
- 12 Jul 2025 - The cop went viral for criticising CS Murkomen for urging police to shoot violent protesters looting people's properties.
- 12 Jul 2025 - Julia Njoki was arrested on July 7 during nationwide protests against police violence and government corruption, held on the anniversary of Saba Saba Day, which commemorates Kenya’s struggle for multi-party democracy.