- 85 views
Mahakama kuu imekataa kutoa maagizo ya muda, ya kumzuia naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Eliud lagat kurejea ofisini. Badala yake, Jaji Chacha Mwita, alimuagiza Lagat kuwasilisha jibu lake katika muda wa wiki moja ijayo, huku kesi hiyo ikipangiwa kutajwa baadaye mwezi huu kwa maelekezo zaidi. Na huku hayo yakijiri, aliyekuwa waziri wa ardhi Amos Kimunya, hivi leo alikuwa kizimbani kujitetea katika kesi ya ufisadi kuhusu ardhi iliyoko kaunti ya Nyandarua. Letuaa Debra ametuandalia taarifa za kitengo cha mizani ya haki.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
IPOA imekanusha madai ya kumwondolea lawama Lagat
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 15 Jul 2025 - The school heads noted that learning would be paralysed until the government heeds their demands.
- 15 Jul 2025 - Secondary school principals have accused the government of disbursing inadequate funds, crippling operations.
- 15 Jul 2025 - Such is the reality facing a family in Kilifi where the burial of their son has ignited a storm.
- 15 Jul 2025 - A police officer issued death threats to his father and sister, as well as magistrate, warning that 'blood will be shed' if the land case is not heard as scheduled.
- 15 Jul 2025 - Why local firms shy away from innovation
- 15 Jul 2025 - Kenya takes part in trials of first malaria treatment for newborns
- 15 Jul 2025 - UK simplified trade rules open up opportunities for Kenyan exporters
- 15 Jul 2025 - Media urged to spotlight 'silent emergencies'
- 15 Jul 2025 - Pattni loses Sh10 billion land case to ex-spy chief Kanyotu's family
- 15 Jul 2025 - Ruto and Gen Z agree that enough is enough but differ on what is enough