- 16 views
Taasisi 15 za kifedha zimesajiliwa kwenye mfumo mahsusi wa uhifadhi wa mazao kwenye mabohari kujiandaa kwa uzinduzi kamili kote nchini. Mkurugenzi wa baraza la mfumo huo wa uhifadhi boharini, Lucy Komen amesema mfumo huo utakapoanza kutumika kikamilifu, utalenga kupunguza kuharibika kwa mavuno kutoka kiwango cha sasa cha asilimia 30, hadi asilimia 5 kufikia mwaka 2027 kupitia mpango wa kutafutiwa soko na hifadhi za kutosha boharini. Taarifa kamili ni kwenye mseto ufuatao wa habari za biashara.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Biashara I Kampuni za bima zatakiwa kuboresha utendakazi
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 15 Jul 2025 - The assailant, who is aged 16, escaped the scene, and efforts to trace and arrest him were ongoing, police said.
- 15 Jul 2025 - Mount Elgon, the majestic 24 million-year-old extinct volcano mountain that straddles the Kenya-Uganda border, is home to an ecosystem that hosts a vast, rich agricultural area and a unique wildlife reserve. The volcano’s higher reaches are protected…
- 15 Jul 2025 - The school heads noted that learning would be paralysed until the government heeds their demands.
- 15 Jul 2025 - To ensure political neutrality, the Commission noted that individuals who have held office or vied for political positions within five years preceding the advertisment, or served in political party governing bodies, are not eligible for either position.
- 15 Jul 2025 - Nato chief Mark Rutte confirmed the US had decided to "massively supply Ukraine with what is necessary through Nato".
- 15 Jul 2025 - Since its launch over a decade ago, the Belt and Road Initiative (BRI) has become one of the most ambitious development strategies in modern history. Initially centred on physical infrastructure – railways, ports, highways, and energy pipelines – BRI…
- 15 Jul 2025 - Kenya takes part in trials of first malaria treatment for newborns
- 15 Jul 2025 - UK simplified trade rules open up opportunities for Kenyan exporters
- 15 Jul 2025 - Why local firms shy away from innovation
- 15 Jul 2025 - Media urged to spotlight 'silent emergencies'