- 11 views
Licha ya chanjo kuwepo, magonjwa ya surua, rubella na homa ya matumbo yanaendelea kuhatarisha maisha ya watoto. Katika siku kumi zilizopita, wahudumu wa afya wameendesha kampeni ya kitaifa ya chanjo ambayo inakamilika leo. Mwanahabari Robi Omondi alizuru Hospitali ya Mutuini jijini Nairobi, ambako awali kulikuwa na upinzani kutoka kwa wazazi, lakini baadaye walikubali chanjo. Wakati wa kampeni hiyo, visa vipya vya surua vilibainika na wahudumu wa afya.
Chanjo Yasaidia Kukabili Surua, Rubella na Homa ya Matumbo
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 15 Jul 2025 - The school heads noted that learning would be paralysed until the government heeds their demands.
- 15 Jul 2025 - Secondary school principals have accused the government of disbursing inadequate funds, crippling operations.
- 15 Jul 2025 - Such is the reality facing a family in Kilifi where the burial of their son has ignited a storm.
- 15 Jul 2025 - A police officer issued death threats to his father and sister, as well as magistrate, warning that 'blood will be shed' if the land case is not heard as scheduled.
- 15 Jul 2025 - Why local firms shy away from innovation
- 15 Jul 2025 - Kenya takes part in trials of first malaria treatment for newborns
- 15 Jul 2025 - UK simplified trade rules open up opportunities for Kenyan exporters
- 15 Jul 2025 - Media urged to spotlight 'silent emergencies'
- 15 Jul 2025 - Pattni loses Sh10 billion land case to ex-spy chief Kanyotu's family
- 15 Jul 2025 - Ruto and Gen Z agree that enough is enough but differ on what is enough