- 164 views
Waziri wa utumishi wa umma Geoffrey Ruku sasa amewaonya watumishi wa umma wanaokosa kufika au kuchelewa kufika kazini kwamba watachukuliwa kama wafanyakazi hewa. Akiongea wakati wa ziara ya ghafla katika afisi za serikali mjini Nyeri, Ruku alikashifu utepetevu na kupuuzwa kwa muda wa kazi katika afisi za serikali, akiutaja kuwa usaliti wa imani ya umma na matumizi mabaya ya rasilimali za walipa ushuru. Mwanahabari wetu Khaled Abdullahi na uketo wa taarifa hii.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ruku: watakaochelewa au kukosa kufika kazini kuadhibiwa
- - Duniani Leo ››
- 17 Jul 2025 - Russia said Wednesday it had seized 820 kilograms (1,800 pounds) of cocaine hidden under a shipment of bananas, calling it its largest bust of drugs from Latin America this year.
- 17 Jul 2025 - Ford is recalling 694,271 crossover SUVs in the United States due to a fuel leak issue that could increase the risk of a fire, the U.S. National Highway Traffic Safety Administration said on Wednesday, following a year-long investigation.
- 17 Jul 2025 - Mombasa port hit by worst empty containers pile up as ships delay
- 17 Jul 2025 - How higher oil marketers' margins adds to the pain of higher fuel prices
- 17 Jul 2025 - How developers can leverage the AfCFTA trade deal
- 17 Jul 2025 - State's appetite for fuel taxes pushes up pump prices
- 17 Jul 2025 - How new US remittance tax is threatening property investments in Kenya
- 17 Jul 2025 - 'Toothless' NCIC blames funding shortfall for its weak bite on hate
- 17 Jul 2025 - How officials swindled Sh2.2b from students' health scheme
- 17 Jul 2025 - Will Bonface Ambani restore the lost glory in the den?