Skip to main content
Skip to main content

Baada ya miaka 13, mshukiwa wa mauaji ya Agnes Wanjiru hatimaye akamatwa Uingereza

  • | Citizen TV
    2,376 views
    Duration: 2:43
    Miaka 13 tangu mauaji ya Agnes Wanjiru, Msusi ambaye mwili wake ulipatikana umetupwa kwenye tenki ya maji taka huko Nanyuki, Mshukiwa mkuu wa mauaji hayo, hatimaye, amekamatwa. Mshukiwa huyo, ambaye alikuwa mwanajeshi wa Uingereza, anazuiliwa na polisi nchini Uingereza akisubiri kusikizwa kwa dhamana kwenye kesi ya kutafuta arejeshwe humu nchini ili kufunguliwa mashtaka ya mauaji