- 136 views
Kampuni ya Royal Credit Limited inayomiliki hisa nyingi katika kampuni ya bima ya Directline Assurance imepinga hatua ya wanaodai kuwa wenye hisa katika kampuni hiyo ya kutaka kuuza asilimia 90 Ya hisa za kampuni ya Directline. Kupitia barua kwa mamlaka ya udhibiti wa bima ya IRA, Royal Credit Limited imesema, imeshangazwa kuona tangazo linaloashiria azma ya kuuza asilimia 90 ya hisa ilihali mmliki mwenye hisa nyingi katika kampuni ya Directline, Royal Credit haijatoa kibali au kutangaza haja ya kuuza hisa. Royal Credit imetahadharisha wateja dhidi ya kupunjwa au kuingia kwenye mtego wa ufisadi wa kununua hisa ambazo si halali. Sasa inaitaka mamlaka ya IRA kuthibitisha iwapo imepokea barua bandia kuhusu uuzaji wa hisa. Pia imesisitiza kuwa uuzaji wa hisa zozote unastahili kuidhinishwa na wenye hisa wake pekee.
Royal Credit Ltd yazuia uuzaji wa hisa za Directline
- - 🔴 TV47 Live ››
- - NTV Kenya LIVE ››
- - Duniani Leo ››
- 21 Jul 2025 - The ODM leader has proposed a number of IEBC reforms.
- 21 Jul 2025 - The Teachers Service Commission (TSC) has issued a warning about a scam involving fraudsters selling fake TSC employment letters and registration certificates to unsuspecting job seekers. In a statement, the commission said the conmen are charging hefty…
- 21 Jul 2025 - Devolved units to begin receiving their shares from next month.
- 21 Jul 2025 - Businessman Zedekiah Kiprop Bundotich, popularly known as Buzeki, has criticised the government following the arrest of activist Boniface
- 21 Jul 2025 - Circumstances surrounding the crash are not yet fully established.
- 21 Jul 2025 - Only one-third of the Sustainable Development Goals (SDGs) are currently on track to be met, prompting the United Nations to declare a global development emergency. Progress has either stagnated or reversed in several key areas, including poverty,…
- 21 Jul 2025 - Alvin,15, was confirmed dead, his body lying unclaimed at the Nakuru Level Five Hospital mortuary.
- 21 Jul 2025 - Harambee Stars coach Benni McCarthy has tipped Tusker striker Ryan Ogam to be the heir to Harambee Stars skipper and talisman Michael Olunga. Speaking on Sunday, July 20, 2025, McCarthy opined that the striker who made the cut in Kenya’s final squad for…
- 21 Jul 2025 - Kenya’s next generation of athletics stars lit up the upgraded MKO Abiola Sports Complex in Abeokuta, Nigeria, storming to an impressive 23-medal haul, including 10 glittering golds, to outshine continental rivals at the 3rd Confederation of African…
- 21 Jul 2025 - The numbers behind young motherhood: Why some counties are failing their girls