- 394 views
Duka kuu ya Naivas limeadhimisha miaka 35 kwa hafla maalum ya kuwashukuru wateja wake katika matawi yake yote nchini. Mkurugenzi Mkuu wa duka hilo David Kimani ametaja uaminifu wa wateja na imani ya jamii kama sababu kuu zilizofanya maduka hayo kukua, akisisitiza dhamira ya kuendelea boresha huduma zake kwa wateja. Kwenye mbwembwe hizo, wateja walipata zawadi kemkem huku Naivas ikisema kuwa sherehe hizo ni sehemu ya juhudi za kutoa shukrani kwa jamii na kutambua mchango wa wateja wake. Naivas ilianzishwa mwaka wa 1990.
Naivas imeadhimisha miaka 35 kwa mbwembwe
- 21 Jul 2025 - U.S. carrier Alaska Airlines (ALK.N) grounded all of its flights after experiencing an IT outage on Sunday that impacted its systems, the company said, without specifying the nature of the outage.
- 21 Jul 2025 - China's Premier Li Qiang announced construction had begun on what will be the world's largest hydropower dam, located on the eastern rim of the Tibetan Plateau and estimated to cost around $170 billion, the official Xinhua news agency said.
- 21 Jul 2025 - The Cabinet Secretary for Treasury John Mbadi has told off people criticizing president William Ruto’s regime saying that they should point out what did not happen during the previous regime.
- 21 Jul 2025 - Gachagua was speaking hours after his team's convoy was tear gassed.
- 21 Jul 2025 - Kathiani Member of Parliament Robert Mbui has challenged the Speaker to rise beyond his political affiliations and cease
- 21 Jul 2025 - The deceased is said to have been stabbed by a fellow student at the apartments
- 21 Jul 2025 - There have been speculations about Raila's political path for 2027.
- 21 Jul 2025 - The comedian and host told a crowd in Cheltenham, Gloucestershire, that life "is just better" in the UK.
- 21 Jul 2025 - Former Chief Justice David Maraga has vowed to overhaul the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) if given
- 21 Jul 2025 - Kirinyaga Woman Representative Njeri Maina has revealed that approximately 10 minors have been detained in remand for more