- 12 views
Ni asilimia-60 pekee ya watoto wachanga walio na umri wa chini ya miezi-6 hunyonyeshwa kikamilifu, huku asilimia-60 pekee wakinyonyeshwa saa moja baada ya kuzaliwa. Kulingana na wizara ya afya, hali hiyo imehusishwa na unyanyapaa, ukosefu wa habari kuhusu afya ya akina mama wajawazito na wanaojifungua, dhana za kitamaduni na matumizi ya mbinu mbadala za kunyonyesha watoto wachanga. Akina mama wamehimizwa kuwanyonyesha wanao wachanga kwa muda wa miezi sita mfululizo bila kuwapa chakula kingine na kuendelea kwa miaka miwili na zaidi, baada ya kuanza kuwalisha vyakula vya kawaida.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kina mama washauriwa kuwanyonyesha wanao kikamilifu
- - Duniani Leo ››
- 22 Jul 2025 - The blogger has wasted no time, unleashing a series of damning — though largely unverified — exposés.
- 22 Jul 2025 - Development projects are being executed in a fragmented and uncoordinated manner due to deep-seated mistrust between leaders
- 22 Jul 2025 - Myths regarding cleft lip and palate abound, not only in Africa, and they affect both patients and parents.
- 22 Jul 2025 - The Court of Appeal has upheld Chepkwony’s conviction and 20-year prison sentence for murdering his wife
- 22 Jul 2025 - The Gen Z protests, which were sparked by last year's finance bill, have emerged as a powerful force for accountability and justice.
- 22 Jul 2025 - Kenya’s rising track and field stars dazzled at the 3rd edition of the Confederation of African Athletics (CAA) Championships in Nigeria, bagging an impressive 24 medals with Mercyline Nakhumicha winning a silver medal in the women’s Under-18 race walk…
- 22 Jul 2025 - Kenya Electricity Generating Company’s (KenGen) Ksh150 billion wind energy project in Loiyangalani Ward, Laisamis Constituency, has run into headwinds. A coalition of professionals from Marsabit County has raised concerns over exclusion and a lack of…
- 22 Jul 2025 - Nairobi County Environment Chief Officer Geoffrey Mosiria has come to the aid of a homeless Kenyan-Indian woman suffering
- 22 Jul 2025 - Multitalented musician Julliet Miriam Ayub, popularly known as Jovial, has shared harrowing first‑trimester experiences during her second pregnancy,
- 22 Jul 2025 - In his book Africa, The Politics of Suffering and Smiling, Patrick Chabal addresses violence’s consequences: the degradation of the human body, collapse of shared values, and breakdown of social order. These processes of dehumanisation manifest clearly…