- 1 views
Wanahabari wanahimizwa kutilia maanani afya yao ya kiakili, kwani changamoto za afya ya akili zinazidi kuwaathiri wale walio katika taaluma ya habari. Kikao maalum cha mafunzo kilifanyika katika Kaunti ya Busia ili kuwapa wanahabari ujuzi wa kudhibiti mfadhaiko na kiwewe mara kwa mara wanapotekeleza majukumu yao. Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Dhamira Moja yaliwaleta pamoja wanahabari wa humu nchini kwa mafunzo ya kina kuhusu kudhibiti msongo wa mawazo wanapokuwa wakifanya kazi nyanjani. Taarifa kamili ni kwenye mseto wa kaunti.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Magatuzini I Wanahabari Busia wahimizwa kutilia maanani afya yao ya kiakili
- 2 Aug 2025 - While enumerating productive interventions implemented in various sectors to ensure better livelihoods, the DP said the administration will not relent in nation building and continued pursuit of economic growth.
- 2 Aug 2025 - Human rights activist Mwabili Mwagodi claims his life is in danger following his recent criticism of the government.
- 2 Aug 2025 - A police officer had called for reducing women recruits, labeling them 'weak'.
- 2 Aug 2025 - A section of residents and school officials from Mukuru kwa Ruben were on Friday blocked from accessing Gatoto Community Primary School, despite a court order that overturned an attempt by the government to register the school under its wings.
- 2 Aug 2025 - South Africa's deputy president defended himself Friday for failing to declare a gift to his wife of a diamond from a jailed gem dealer.
- 2 Aug 2025 - Former ICT Cabinet Secretary Margaret Nyambura Ndung'u has been appointed as senior researcher and digital policy specialist at the Digital Public Infrastructure (DPI) Safeguards Strategic Advisory Board, an initiative by the United Nations Office for…
- 2 Aug 2025 - The ranks are divided into two systems, and provide structure and organisation to KDF.
- 2 Aug 2025 - Moussa Mara expressed solidarity with opposition figures held after political parties were dissolved.
- 2 Aug 2025 - Water contributes 55% to 65% of total body mass.
- 2 Aug 2025 - Mbadi also addressed claims of supporting Gachagua ahead of 2027.