Skip to main content
Skip to main content

Mamia ya watu waachwa bila makao kufuatia mafuriko Trans Nzoia

  • | Citizen TV
    161 views
    Duration: 2:41
    Mamia ya watu walioathirika na mafuriko katika eneo la Kapomboi kaunti ya Trans Nzoia sasa wanakabiliwa na hatari ya mlipuko wa magonjwa. Wakazi hao wamelazimika kuishi kwenye nyumba zilizojaa maji taka na matope kwa kukosa eneo mbadala la kuhamia baada ya nyumba zao kufurika.