- 88 views
Muungano wa upinzani umeendelea kuikosoa serikali kwa kutumia nguvu kuwakandamiza wale wasiokubaliana na sera za serikali. Wakiongea na wanahabari, viongozi hao akiwemo martha karua na kalonzo musyoka wamesema wataendelea kukemea maovu ya serikali ya kenya kwanza huku wakilenga kuondoa mamlakani katika uchaguzi mkuu wa 2027. Baadhi ya Viongozi katika Kaunti ya Isiolo wamekanusha madai ya kuidhinisha bajeti ya mwaka wa 2025/2026 ya kaunti hiyo kwa njia ya udanganyifu, wakisisitiza kuwa mchakato huo ulifuata sheria kikamilifu . Wametahadharisha wakazi dhidi ya kupotoshwa na siasa za uchochezi, huku wakikanusha pia kuwepo kwa mpango wa kumuondoa Karani wa Bunge, Salad Guracha.
Mgogoro wa bajeti ya Isiolo
- 2 Aug 2025 - At least 30 people have died in flooding from heavy rainfall in Guinea's capital and surrounding areas since late June, according to a new government toll released Friday.
- 2 Aug 2025 - U.S. President Donald Trump's latest wave of tariffs on exports from dozens of trading partners, including Canada, Brazil, India and Taiwan, sent global stock markets down on Friday as countries pushed for talks to clinch better deals.
- 2 Aug 2025 - Lawyer writes to Mbadi over debt securitization
- 2 Aug 2025 - Lawyer say the Deputy President and his entourage have dished out Sh1 billion already. In the petition, the lawyers says the officials should be found guilty of bribery, abuse of office.
- 2 Aug 2025 - New data show that Kenya’s elderly population is surging, now topping 3.2 million, which is almost 6 per cent of the total population.
- 1 Aug 2025 - The pursuit of lasting peace and unity in the Democratic Republic of Congo (DRC) will henceforth be undertaken by the African Union (AU).
- 1 Aug 2025 - According to the numbers, 32.5 million Kenyans are still accessing mobile telephony services on feature phones, thereby denying them access to a wide range of essential services that smartphones can offer via internet connectivity.
- 1 Aug 2025 - Hydration hacks: When, and how much water should you really drink?
- 1 Aug 2025 - Vaping debate clouds tobacco control progress
- 1 Aug 2025 - Interior CS Kipchumba Murkomen has strongly defended police officers over the deaths that occurred during recent anti-government protests, stating that he will not shy away from standing by the Inspector General and the entire security team.