- 36 views
Makundi ya kijamii, wataalamu wa sheria, na watetezi wa haki za watu walio na ulemavu wanatahadharisha kwamba mfumo wa haki wa Kenya bado unawabagua kwa kiwango kikubwa. Suala sugu la kutiliwa shaka ni matumizi yanayoendelea ya sheria za kikoloni kama vile Kanuni ya mchakato wa jinai ya mwaka 1962, ambayo wanaharakati wanasema inawabagua watu wenye ulemavu wa kisaikolojia na wa kiakili. Ripoti mpya iliyozinduliwa na Tume ya Kimataifa ya Wanasheria (ICJ), tawi la Kenya, imefichua kuwa licha ya mageuzi ya kisheria ya hivi majuzi, ikiwa ni pamoja na Sheria ya Watu Wenye Ulemavu ya 2025 na Sera mpya ya Kitaifa ya Ulemavu, mahakama nyingi bado hazina mifumo ya ujumuishaji, marekebisho ya haki, wala huduma za msingi za kuwasaidia walemavu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wadau wataka mfumo wa haki uzingatie watu wenye ulemavu
- 2 Aug 2025 - The judge dismissed claims that the tunnel is a death trap.
- 2 Aug 2025 - The first Gusii woman in Parliament empowered fellow women, challenged patriarchy, and championed justice in the legislature and beyond.
- 2 Aug 2025 - In this part of Kilifi, poverty, cultural beliefs, and silence fuel child abuse, but this officer wages a war for justice.
- 2 Aug 2025 - At least 30 people have died in flooding from heavy rainfall in Guinea's capital and surrounding areas since late June, according to a new government toll released Friday.
- 2 Aug 2025 - U.S. President Donald Trump's latest wave of tariffs on exports from dozens of trading partners, including Canada, Brazil, India and Taiwan, sent global stock markets down on Friday as countries pushed for talks to clinch better deals.
- 2 Aug 2025 - Lawyer writes to Mbadi over debt securitization
- 2 Aug 2025 - Lawyer say the Deputy President and his entourage have dished out Sh1 billion already. In the petition, the lawyers says the officials should be found guilty of bribery, abuse of office.
- 2 Aug 2025 - New data show that Kenya’s elderly population is surging, now topping 3.2 million, which is almost 6 per cent of the total population.
- 1 Aug 2025 - The pursuit of lasting peace and unity in the Democratic Republic of Congo (DRC) will henceforth be undertaken by the African Union (AU).
- 1 Aug 2025 - Hydration hacks: When, and how much water should you really drink?