- 3,498 views
Mfanyikazi mmoja wa serikali amelala ndani ya afisi yake katika jumba la Harambee ambayo pia ni ofisi ya Rais ili kuzuia afisi yake kuvunjwa kwa ukarabati. Phyllis Anyango Ouko ambaye anafanya kazi katika afisi ya katibu wa usimamizi katika wizara ya usalama wa kitaifa ametakiwa kuhama kutoka ghorofa ya kwanza hadi ya nane. Lakini Phyllis ambaye ni mlemavu na anatumia gari la magurudumu anasema ataathirika iwapo kambarau zitaharibika wakati wa dharura akisema juhudi za kumuomba mkuu wa utumishi wa Umma Felix Kosgei kumsikiza zimeambulia patupu
Mfanyakazi mlemavu alala afisini kupinga kuhamishwa katika jumba la Harambee
- 2 Aug 2025 - The judge dismissed claims that the tunnel is a death trap.
- 2 Aug 2025 - The first Gusii woman in Parliament empowered fellow women, challenged patriarchy, and championed justice in the legislature and beyond.
- 2 Aug 2025 - In this part of Kilifi, poverty, cultural beliefs, and silence fuel child abuse, but this officer wages a war for justice.
- 2 Aug 2025 - At least 30 people have died in flooding from heavy rainfall in Guinea's capital and surrounding areas since late June, according to a new government toll released Friday.
- 2 Aug 2025 - U.S. President Donald Trump's latest wave of tariffs on exports from dozens of trading partners, including Canada, Brazil, India and Taiwan, sent global stock markets down on Friday as countries pushed for talks to clinch better deals.
- 2 Aug 2025 - Lawyer writes to Mbadi over debt securitization
- 2 Aug 2025 - Lawyer say the Deputy President and his entourage have dished out Sh1 billion already. In the petition, the lawyers says the officials should be found guilty of bribery, abuse of office.
- 2 Aug 2025 - New data show that Kenya’s elderly population is surging, now topping 3.2 million, which is almost 6 per cent of the total population.
- 1 Aug 2025 - The pursuit of lasting peace and unity in the Democratic Republic of Congo (DRC) will henceforth be undertaken by the African Union (AU).
- 1 Aug 2025 - Hydration hacks: When, and how much water should you really drink?