- 1,057 views
Mkanganyiko na foleni ndefu za wagonjwa zimeshuhudiwa kwenye hospitali kadhaa nchini, katika shughuli ya kuhamisha mfumo wa SHA kwa njia ya dijitali. Kutoka hospitali za Kisii hadi Nakuru, waliofika kupata huduma walihangaika kuhamishwa kwa maelezo yao kwenye mfumo wa dijitali. Hata hivyo, baadhi ya hospitali zilifanya uhamisho huu bila tabu zozote, siku moja baada ya wizara ya afya kupiga marufuku utumizi wa uthibitisho wa OTP kwa wanaotibiwa kupitia SHA
Foleni zashuhudiwa kufuatia uhamisho wa mfumo wa SHA kwenda dijitali
- 6 Aug 2025 - A 14-year-old who was on the verge of being married off in Kajiado County was rescued, amidst rising concerns of early child marriages during the school holiday season.
- 5 Aug 2025 - United States President Donald Trump's administration has proposed to review Kenya's non-NATO status, barely months after Kenya became the first sub-Saharan African country to receive the prestigious designation.
- 5 Aug 2025 - Labour Cabinet Secretary Dr Alfred Mutua is facing fresh questions from lawmakers over the handling of a government-backed recruitment drive for jobs in Qatar.
- 5 Aug 2025 - A remandee was shot dead while another escaped following an attempted jailbreak in Embu West Sub-county on Tuesday afternoon.
- 5 Aug 2025 - Quickmart Supermarket has suspended staff members involved in an altercation with two customers at its Buruburu branch, following allegations of mistreatment.
- 5 Aug 2025 - Quickmart Supermarket has suspended staff members involved in an altercation with two customers at its Buruburu branch, following allegations of mistreatment.
- 5 Aug 2025 - Plastic pollution treaty talks open with 'global crisis' warning
- 5 Aug 2025 - Trump administration seeks review of Kenya's non-NATO ally status
- 5 Aug 2025 - Meta says working to thwart WhatsApp scammers
- 5 Aug 2025 - CS Ruku urged leaders to refrain from spreading falsehoods