- 1,838 views
Rais william ruto amewakashifu viongozi wa upinzani akiwaonya dhidi ya kumrushia vitisho vya kuwa rais wa muhula mmoja pekee. Akihudhuria ibada ya jumapili katika eneo bunge la Limuru kaunti ya Kiambu, Rais Ruto ambaye baadaye alizuru mradi wa nyumba za serikali eneo hilo alisema ana mpango bora wa maendeleo kwa wakenya. Gavana wa kaunti hiyo kimani wamatangi akitaka wenyeji kuweka kando siasa kwa sasa na kuungana na rais ruto kufanya maendeleo.
Ruto: Sitishwi na vitisho vya ‘wantam’, nitaendeleza maendeleo
- - Duniani Leo ››
- 13 Aug 2025 - A UK town applied for a High Court injunction on Tuesday to stop asylum seekers being housed in a local hotel, following protests, some of which turned violent.
- 13 Aug 2025 - Europe's car exporters are still struggling with uncertainty over U.S. tariffs despite last month's trade deal, Wallenius Wilhelmsen, the operator of one of the world's largest car-carrier fleets, told Reuters on Tuesday.
- 13 Aug 2025 - Mr Gachagua is attempting to establish a narrative that the world should prepare for an opposition victory in 2027.
- 13 Aug 2025 - Why State has abandoned plans for Sh468b Nairobi-Mombasa expressway
- 13 Aug 2025 - Governors on trial as graft claims tarnish 12 years of devolution era
- 13 Aug 2025 - How Sh360.5m was siphoned from Afya Sacco
- 13 Aug 2025 - UK tycoon Veevers to be buried after 11 years
- 13 Aug 2025 - Ruto is not empowering youth; he is manipulating them with fake mercy
- 13 Aug 2025 - House team wants BATUK deal halted over rights abuses
- 13 Aug 2025 - Will AfCFTA survive beyond heavy US tariffs?