- 891 views
James Kariuki, Simeon Omondi na David Kitavi ndio washindi wa mashindano wa kupika ya kipindi cha taste off kilichokuwa kikipeperushwa kwenye runinga ya citizen kila Jumamosi usiku. Ilikuwa ni furaha na mbwembwe kwa washindi hawa waliojumuika na familia zao. Watatu hawa waliibuka kidedea kati ya wawaniaji 16 waliofuzu baada ya mchujo mkali kutoka kwa wawaniaji mia nne. Washindi hao walipata tuzo tofauti huku James Kariuki akishinda tuzo ya shilingi millioni moja. Kipindi cha taste off kimekuwa kikipeperushwa hapa citizen tv tangu mwezi Mei.
James Kariuki, Simeon Omondi na David Kitavi washinda 'Taste Off'
- - Duniani Leo ››
- 13 Aug 2025 - A UK town applied for a High Court injunction on Tuesday to stop asylum seekers being housed in a local hotel, following protests, some of which turned violent.
- 13 Aug 2025 - Europe's car exporters are still struggling with uncertainty over U.S. tariffs despite last month's trade deal, Wallenius Wilhelmsen, the operator of one of the world's largest car-carrier fleets, told Reuters on Tuesday.
- 13 Aug 2025 - Mr Gachagua is attempting to establish a narrative that the world should prepare for an opposition victory in 2027.
- 13 Aug 2025 - Why State has abandoned plans for Sh468b Nairobi-Mombasa expressway
- 13 Aug 2025 - Governors on trial as graft claims tarnish 12 years of devolution era
- 13 Aug 2025 - Ruto is not empowering youth; he is manipulating them with fake mercy
- 13 Aug 2025 - House team wants BATUK deal halted over rights abuses
- 13 Aug 2025 - Will AfCFTA survive beyond heavy US tariffs?
- 13 Aug 2025 - How Sh360.5m was siphoned from Afya Sacco
- 13 Aug 2025 - UK tycoon Veevers to be buried after 11 years