- 531 views
Kampuni ya teksi za mitandaoni ya Weego imewarai wakenya kuwa waangalifu barabarani, ili kupunga ajali za barabarani. Weego iliyoshiriki hafla ya Park and Vibe huko Kirigiti kaunti ya Kiambu, imewaomba madereva wake zaidi ya elfu kumi nchini, kuepuka vileo wanapoingia Barabarani. Wamesisitiza haja ya watu kujikuza kiuchumi kwa madereva na wanaomiliki magari. Mamia ya biashara zilishiriki hafla hio inayonuia kuzipa biashara ndogo, nafasi ya kupenya kwenye masoko ya bidhaa wanazouza.
Weego yatoa hamasisho kwa wakenya kuhusu usalama barabarani
- - Duniani Leo ››
- 13 Aug 2025 - A UK town applied for a High Court injunction on Tuesday to stop asylum seekers being housed in a local hotel, following protests, some of which turned violent.
- 13 Aug 2025 - Europe's car exporters are still struggling with uncertainty over U.S. tariffs despite last month's trade deal, Wallenius Wilhelmsen, the operator of one of the world's largest car-carrier fleets, told Reuters on Tuesday.
- 13 Aug 2025 - Mr Gachagua is attempting to establish a narrative that the world should prepare for an opposition victory in 2027.
- 13 Aug 2025 - Why State has abandoned plans for Sh468b Nairobi-Mombasa expressway
- 13 Aug 2025 - Governors on trial as graft claims tarnish 12 years of devolution era
- 13 Aug 2025 - UK tycoon Veevers to be buried after 11 years
- 13 Aug 2025 - Ruto is not empowering youth; he is manipulating them with fake mercy
- 13 Aug 2025 - House team wants BATUK deal halted over rights abuses
- 13 Aug 2025 - Will AfCFTA survive beyond heavy US tariffs?
- 13 Aug 2025 - How Sh360.5m was siphoned from Afya Sacco