Wahudumu wa afya kaunti ya Lamu watoa ilani ya mgomo

  • | KBC Video
    12 views

    MGOMO LAMU

    Wauguzi katika Kaunti ya Lamu wametoa notisi ya mgomo baada ya kukosa kuafikiana na serikali ya kaunti kuhusu matakwa yao. Wakizungumza katika Hospitali ya Mpeketoni, wauguzi hao walilalamika kuwa licha ya kuwasilisha mapendekezo yao kwa mwajiri wao mapema mwaka huu, hakuna lolote lililofanywa kuyashughulikia.

    Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/

    #kbcchannel1 #news #kbclive