Vijana wametakiwa kuchukua hatua za moja kwa moja kulinda mazingira yao

  • | TV 47
    15 views

    Vijana wametakiwa kuchukua hatua za moja kwa moja kulinda mazingira yao.

    Ubunifu wa vijana umetajwa kama nyenzo muhimu ya kukabili uharibifu wa mazingira.

    DKT. Ng’eno amesema mabadiliko ya kweli huanzia ngazi ya jamii.

    Miradi ya vijana inapaswa kuzingatia vitendo badala ya kauli.

    Wito umetolewa kwa vijana kuacha kutegemea serikali na kuanza kuchukua hatua.

    #TV47Matukio Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'

    *About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __

    Connect with us:

    Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __