- 66 views
Waziri wa ardhi, nyumba na ustawi wa miji, Alice Wahome amehakikishia wakenya kwamba mradi wa ujenzi wa nyumba za bei nafuu uko kwenye mkondo unaostahili. Waziri aliyasema hayo baada ya kufanya ziara ya ghafla kwenye mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu huko Olkalou, kaunti ya Nyandarua. Wahome alitangaza kwamba nyumba-520 zinajengwa katika eneo hilo, huku nyumba-100 tayari zikiwa zimekamilika na asilimia 40 ya nyumba nyingine ikikaribia kukamilika.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Dira Magatuzini: Hatua kabambe zachukuliwa kudhibiti ajali barabarani
- - Duniani Leo ››
- 25 Aug 2025 - Exams chief says KJSEA will contribute the remaining 60pc of a multi-layered evaluation that began in Grade Six.
- 25 Aug 2025 - Technical skills training, link to jobs and access to funding and mentorship remain key
- 25 Aug 2025 - The once-tranquil homestead now buzzes with weekly gatherings
- 25 Aug 2025 - Political activist and businessman Morara Kebaso has blamed Kenyans for enabling leaders who preside over corruption scandals, saying
- 25 Aug 2025 - Kenyan riders find it hard to tackle tricky coastal trails
- 25 Aug 2025 - Third force: Youthful MPs form team to 'salvage' the country
- 25 Aug 2025 - State-county row stalls Sh750m water project
- 25 Aug 2025 - Banks face more scrutiny over slow response to CBK rate cuts
- 25 Aug 2025 - Aboud: Our focus now shifts to Fifa World Cup Qualifiers
- 25 Aug 2025 - Make open-heart surgery affordable for those who need it