- 74 views
"Martha Wangari Karua ndiye chaguo bora la mgombea mwenza wa muungano wa Azimio" si maneno yangu bali ni tangazo rasmi lililotolewa hii leo na kinara wa ODM Raila Odinga baada ya jina la Karua kupendekezwa na jopo lililopewa jukumu la kuwahoji walioonyesha ari ya kuwa mgombea mwenza wa muungano wa Azimio. Ugavi wa mamlaka pia umesheheni leo katika ukumbi wa KICC, Odinga akiahidi vyeo kwa baadhi ya wandani wake wa kisiasa endapo muungano wa Azimio utafanikiwa kuunda serikali ijayo.
Uteuzi wa mgombea mwenza wa muungano wa Azimio
- 19 May 2025 - Jihadists in northeastern Nigeria are surging -- and using social media to spread the word of their campaigns and recruit fighters.
- 19 May 2025 - Government Spokesperson Isaac Mwaura has addressed the deportation of lawyer Martha Karua by the Tanzanian government.
- 19 May 2025 - After spending four days behind bars, gospel artist Alex Apoko, widely known as Ringtone, has been released on a Ksh.3 million bond or an alternative of Ksh.1 million cash bail in a multimillion fraud case.
- 19 May 2025 - Mumias East Member of Parliament Peter Salasya has been freed on a cash bail of Ksh.200,000 in a hate speech case.
- 19 May 2025 - Michael Oyamo, a former personal aide to ex-Migori Governor Okoth Obado, will have to testify first before calling his witnesses.
- 19 May 2025 - Joseph Kariaga and his friends once lived the "gangster life" in Nairobi's Mathare slum, snatching phones, mugging people and battling police. But when Kariaga's brother was shot dead by police, the young men took stock.
- 19 May 2025 - Labour CS Alfred Mutua has been urged to intervene.
- 19 May 2025 - Residents were seen blocking major roads in the county.
- 19 May 2025 - Five people died Monday morning after fire broke out in Mathare B area in Nairobi.
- 19 May 2025 - Priest's body found on Nakuru-Nairobi highway.