Skip to main content
Skip to main content

Kikosi cha wachezaji chipukizi wa voliboli ya ufuoni kimepata fursa ya kuboresha mazoezi yake

  • | NTV Video
    335 views
    Duration: 1:58
    Kikosi cha wachezaji chipukizi wa voliboli ya ufuoni kitakachowakilisha Kenya kwenye Mashindano ya "4th bara Afrika yatakayofanyika Angola disemba10 kimepata fursa ya kuboresha mazoezi yake baada ya ufunguzi wa uwanja mpya katika Shule ya Upili ya Sang'alo, Kaunti ya Nandi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya