Skip to main content
Skip to main content

Wavuvi huko Lungalunga kaunti ya Kwale walaumiwa kwa kuwadhulumu wanawake wachuuzi

  • | Citizen TV
    406 views
    Duration: 2:10
    Wanawake walio kwenye sekta ya uvuvi eneo la Lungalunga kaunti ya Kwale wamedaiwa kunyanyaswa kimapaenzi na baadhi ya wavuvi kabla ya kuuziwa samaki wa biashara