Skip to main content
Skip to main content

Walimu wa JSS Elgeyo Marakwet wasema hawatarejea darasani iwapo serikali haitatimiza matakwa yao

  • | Citizen TV
    271 views
    Duration: 1:58
    Walimu wa sekondari msingi katika kaunti ya Egeyo Marakwet wametishia kutorejea kazini au shuleni mwanzo wa muhula wa kwanza wa mwaka 2026 iwapo serikali haitatimiza matakwa yao ya kupewa uhuru wa kujisimamia pamoja na ajira ya kudumu