Skip to main content
Skip to main content

Wanawake 50% hujifungulia nyumbani kijijini Sombo, Tana River

  • | Citizen TV
    344 views
    Duration: 3:57
    Idara ya afya ya kaunti ya Tana River imetoa takwimu zinazoonyesha kuwa asilimia hamsini ya wanawake wajawazito hujifungulia nyumbani katika kijiji cha Sombo eneo bunge la Bura. Mojawapo ya sababu zinazochangia hali hii ni mila potovu ya ukeketaji.