Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Miungoni kaunti ya Kwale waandamana kuhusu mzozo wa ardhi

  • | Citizen TV
    380 views
    Duration: 1:53
    Wakazi wa Miungoni eneobunge la Lungalunga kaunti ya Kwale wameandamana wakishinikiza serikali kutekeleza ripoti ya bunge ya mwaka jana iliopendekeza kugawanywa kwa ardhi inayozozaniwa na wakazi na mwekezaji mmoja wa kibinafsi eneo hilo.