Skip to main content
Skip to main content

Ripoti ya upasuaji yaonyesha msichana wa miaka 12 alidhulumiwa kabla ya kuuawa Embakasi

  • | Citizen TV
    11,207 views
    Duration: 2:47
    Ripoti ya upasuaji wa maiti ya msichana wa miaka 12 aliyepatikana ameuawa eneo la Embakasi jumamosi iliyopita imeonyesha kuwa alidhulumiwa na kubakwa kabla ya kunyongwa. Upasuaji huo ukionyesha kuwa mwili wa Patience Mumbe ulikuwa na majeraha mengi kichwani na hata mwilini