- 50 views
Kampuni ya kutengeneza mafuta ya kupikia Pwani Oil imepuzilia mbali madai kwamba bidhaa zake hazijaafikia viwango vilivyowekwa na shirika la kukadiria ubora wa bidhaa KEBS. Kampuni hiyo inayoendesha shughuli zake kutoka kaunti ya Mombasa imesema haijawahi tuhumiwa kuhusiana na viwango vya ubora. Hata hivyo kampuni hiyo imesema imeanzisha mpango wa marekebisho kwenye shehena ya bidhaa yake kuambatana na matakwa ya KEBS. Ijumaa iliyopita shirika la KEBS lilitangaza marufuku ya muda ya uuzaji wa aina 10 za mafuta ya kupikia kwa kutoafikia viwango vya ubora.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #kenyaelection2022 #KenyaDecides2022
Kampuni zajitetea baada ya KEBS kusimamisha uuzaji wa aina 10 za mafuta
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 2 May 2024 - President William Ruto, the Commander-in-Chief of the Defence Forces, has promoted Lieutenant General Charles Muriu Kahariri to the rank of General and appointed him the new Chief of the Defence Forces (CDF).
- 2 May 2024 - President William Ruto might be addressing a joint session of the United States Congress on May 23, 2024, if approved by the Speaker of the House.
- 2 May 2024 - The number of Kenyans who have died from the ongoing nationwide floods rose to 188 as of Thursday morning as the nation continues to battle with torrential rains.
- 2 May 2024 - More than half of Kenyans consider Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi most responsible for the dubious subsidised fertiliser under probe, a new survey shows.
- 2 May 2024 - Survivors of the Maai Mahiu flash floods say they had been warned over the looming danger posed by the Old Kijabe seasonal dam hours before the tragedy struck.
- 2 May 2024 - A police officer died in Matungulu, Machakos County after his car was swept away by floods in River Kware on Wednesday afternoon.
- 2 May 2024 - Kahariri takes over the top security job after Ruto appointed him to replace Francis Ogolla.
- 2 May 2024 - The night raid was conducted by DCI's Operations Support Unit.
- 2 May 2024 - Ahmed first joined the army in 1983 where she served under the Women's Service Corps.
- 2 May 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja is under fire over the county’s response to floods from the heavy rainfall being experienced across the country.