Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Machakos, wazazi na jamii washirikaina kujenga barabara

  • | NTV Video
    438 views
    Duration: 1:46
    Ni afueni kwa mamia ya wakazi wa eneo ndogo la Sabaki katika kaunti ya Machakos baada ya wazazi wa shule ya mtakatifu Bakhita, jamii na kaunti kushirikiana na kujenga barabara iliyokuwa kikwazo cha maendeleo kwa zaidi ya miaka ishirini iliyopita. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya