- 193 views
Wabunge wa muungano wa Azimio wametoa makataa ya saa 24 kwa IEBC kumrejesha kazini naibu afisa mkuu mtendaji Ruthu Kulundu. Wabunge hao walifanya maandamano hadi katika makao makuu ya IEBC Nairobi jumba la Anniversary Towers wakimshinikiza Chebukati amrudishe kazini Ruth Kulundu baada ya kusimashishwa kazi kufuatia tuhuma za kushirikiana na makamishna wanne wa IEBC waliojitenga na mwenyekiti wa tume hiyo. Maandamano ya muungano huo yalizimwa na polisi kwa kutumia vitoa machozi na kulazimu wafuasi wao kutawanyika.
Wabunge wa muungano wa Azimio watoa makataa ya saa 24 kwa IEBC kumrejesha kazini Ruth Kulundu
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.
- 12 Jul 2025 - Dreams of 23-year-old man brutally cut short by a trigger-happy police officer.
- 12 Jul 2025 - Grief turns to outcry during slain hawker Boniface Kariuki's funeral
- 12 Jul 2025 - How goat feasts turn Maasai men into trusted family planning champions
- 12 Jul 2025 - PHOTOS: Kamba folk songs dominate Rift Valley Regional Music Festivals
- 12 Jul 2025 - Raila blasts Ruto over order to shoot protesters
- 12 Jul 2025 - Lawyer Pheroze Nowrojee: Legal luminary who fought for justice
- 12 Jul 2025 - Low public trust levels, voter apathy, and technology queries among keys issues the new offices needs to tackle.
- 12 Jul 2025 - Education system: Why sex abuse victims stay silent for decades
- 12 Jul 2025 - Coffee co-operative societies have currently incurred debts amounting to Sh6bn