- 531 views
Mtu mmoja amefariki huku wengine 30 wakiachwa bila makao baada ya moto kuteketeza makaazi yao katika kijiji cha Reli eneobunge la Kikuyu kaunti ya Kiambu. Moto uliripotiwa kijijini humo usiku wa kuamkia leo, ambapo nyumba 18 ziliteketezwa. Aliyefariki ni mtoto wa miaka mitatu. Aidha wakaazi wanaripoti kupoteza mali ya thamani isiyojulikana. Waathiriwa wamelaumu maafisa wazima moto kutoka kaunti ya Kiambu kwa kuchelewa kushghulikia dharura. Uchunguzi wa chanzo cha moto huo umeanzishwa
Mtoto afariki baada ya nyumba kuteketea moto Kikuyu
- 3 May 2024 - Controversial preacher Paul Mackenzie and 38 of his co-accused in the Shakahola massacre are set to be charged afresh in the ongoing children cruelty and torture case after the prosecution unearthed new evidence.
- 3 May 2024 - General Charles Kahariri Muriu has been sworn in as the new Chief of Defence Forces (CDF).
- 3 May 2024 - The government has set up a total of 115 camps to shelter families that have been displaced by floods occasioned by the ongoing heavy rains across the country.
- 3 May 2024 - Interior Cabinet Secretary Kithure Kindiki has issued a directive for the voluntary vacation or mandatory evacuation of all individuals residing in the vicinity of 178 dams and water reservoirs across 33 counties.
- 3 May 2024 - The ministry of health is finalizing the development of a guide that seeks to provide parents and caregivers with comprehensive and accurate information on adolescent sexual and reproductive health in the face of emerging threats facing the age group.…
- 3 May 2024 - Reading Time: 3 minutes The government has set up a total of 115 camps for internally displaced persons (IDPs) following a flood crisis that […]
- 3 May 2024 - Agriculture and Livestock Development Cabinet Secretary Mithika Linturi scored an E of 25 per cent.
- 3 May 2024 - Kindiki was rated with an overall score of 68 per cent, a mean grade of B.
- 3 May 2024 - The new budget, which will be financed by new tax measures, will be read on June 13.
- 3 May 2024 - President Bola Tinubu ordered an investigation into the “bombing mishap”.