- 14,461 views
Rais William Ruto ameongoza mkutano wa baraza la mawaziri katika ikulu ya Rais hii leo, huu ukiwa mkutano wa pili tangu alipotwaa rasmi uongozi. Mkutano huu unaohudhuriwa na mawaziri wanaoondoka wa serikali ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta unatarajiwa kuangazia sera na baadhi ya maswala ambayo Rais anataka yashughulikiwe kabla ya baraza lake la mawaziri kupigwa msasa na bunge na kuidhinishwa kuanza kazi rasmi. Kati ya maswala haya huenda ni maswala yanayohusiana na sekta ya pamba aliyowaahidi wakaazi wa Homa Bay alipozuru hapo jana. Aidha rais aliahidi nyumba za bei nafuu kwa wakazi
Rais Ruto aongoza mkutano wa mawaziri wa serikali iliyopita ikulu ya Nairobi
- - LIVE|| TV47 News Now ››
- - Flood deaths hit 82 ››
- 28 Apr 2024 - An earthquake of magnitude 6.5 struck Japan's Bonin Islands, the United States Geological Survey (USGS) said on Saturday.
- 28 Apr 2024 - Sierra Leone's Energy Minister Kanja Sesay resigned on Friday over a weeks-long electricity crisis, the same day the government announced it had paid some of the tens of millions of dollars it owed to energy providers.
- 28 Apr 2024 - A day after the recent United Democratic Alliance (UDA) party elections, candidates who were vying for seats in the just concluded polls have expressed concerns about suspected interference with the voting process.
- 28 Apr 2024 - Crisis looms as schools to reopen amid floods, interns strike threat
- 28 Apr 2024 - Teachers at the forefront of getting girls vaccinated against deadly virus
- 28 Apr 2024 - Widow recounts fond memories as Col Keitany is laid to rest
- 28 Apr 2024 - 76 people confirmed dead as a result of raging floods in last 12 hours
- 28 Apr 2024 - Crisis deepens as counties send home defiant medics
- 28 Apr 2024 - Ohio police released video of a Black man who died at a local hospital after repeatedly telling officers "I can't breathe" as they pinned him to the floor of a bar and handcuffed him, evoking memories of the killing of George Floyd in 2020.
- 28 Apr 2024 - Observers believe the demise of Ogolla has lost a nut of trust in Kenya Kwanza government.