- 411 views
Kikosi cha usalama kimekuwa kikifanya operesheni ya kurejesha mbuzi walioibwa katika kijiji cha Loikas, mjini Maralal. Hamsini kati ya mbuzi 308 walioibwa mwezi jana wamepatikana. Wafugaji eneo hilo wanaitaka serikali kuimarisha usalama ili kuzuia visa vya wizi wa mifugo kwani vinawasababishia hasara kubwa. Oparesheni hiyo inaongozwa na Naibu Kamishna wa Kaunti ya Samburu Titus Omanyi. Polisi wanasema kuwa wanazidi kufuatilia kisa hicho ili kuwarejesha mifugo wote walioibiwa.
Mbuzi 50 kati ya 380 walioibiwa warudishwa Maralal
- - Duniani Leo ››
- - LIVE|| TV47 Matukio ››
- 2 May 2024 - President insists all Kenyans must pay their taxes and urges doctors to go back to work.
- 2 May 2024 - Everywhere there is gloom, and uncertainty about what happens next at Columbia University.
- 2 May 2024 - I am a co-creator in my own destiny
- 2 May 2024 - Sancho’s three goals in 16 appearances in his second spell at the club, on loan, is an improvement on the 12 in 82 he managed at Manchester United.
- 2 May 2024 - He will be in South Africa for the high-performance training and up-skilling programme for the next six months.
- 2 May 2024 - Keroka emerged overall winners in last year’s championships at Gusii Stadium, beating Mawego TTI to second place and Siaya to third place.
- 2 May 2024 - The women’s Olympic race slated for August 11, will cover a 42,195km loop linking Paris and Versailles.
- 2 May 2024 - Currently Kenya only hosts two tennis tournaments in a 52 week tennis calendar and Moss said the the World body was keen for Kenya to grow that number in the next three years.
- 2 May 2024 - Pushes to increase production capacity.
- 2 May 2024 - Mutua will be in the company of Diana Chebet, Joan Cherono, Jackline Nanjala, Rahab Wanjiru and Vanice Kerubo.