Uchunguzi kuhusiana na kisa ambapo picha za CCTV zinawaonyesha maafisa wa polisi wakiwadhulumu wanaume kadhaa waliokuwa wakicheza mchezo wa pool mjini Nandi Hills umeanza. Kulingana na halmashauri huru ya usimamizi wa polisi, IPOA, waathiriwa kadhaa na wale walioshuhudia kisa hicho wametambuliwa na kuzungumziwa. Inspekta jenerali wa huduma ya taifa ya polisi pia ameagiza uchunguzi wa kina na wa haraka kuhusiana na kisa hicho.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive