Skip to main content
Skip to main content

Mwanaume atimuliwa na wananchi kwa kukumbatia mti Kitale

  • | Citizen TV
    20,777 views
    Duration: 1:32
    Mwanaume kutoka Kitale aliyeanzisha Jaribio la kukumbatia Mti kwa Saa 120 ili kuonyesha kuwa hana uwezo wa kulipia karo ya binti yake kujiunga na Shule ya St Joseph's Girls, gredi ya 10, amelazimika kukatiza azma yake baada ya kufurushwa na wakazi wa Kitale.