- 216 viewsDuration: 38sBandari Fc wana wiki muhimu kuanzia jumamosi, ambapo watacheza mechi tatu ndani ya siku saba, mechi ambazo zinaweza kubaini kwa kina msimu wao. Huku mkondo wa pili wa ligi kuu ya Kenya ukianza jumamosi, bandari wanatarajiwa kufaidika na kucheza mechi mbili za nyumbani kwa wiki moja na kuboresha nafasi yao ya kumi kwenye ligi